Msanii aliyekuwa akiiwakilisha Bongo kwenye tuzo za MTV Base, Diamond Platnumz ameshindwa kutwaa tuzo mara baada ya tuzo alizokuwa akigombania kuchukuliwa na wanamuziki toka nchi nyingine.
Tuzo ya Best Collaboration ilichukuliwa na Uhuru na wimbo wake uitwao Tjukutcha ambayo amemshirikisha Professor Oskido & Dj Bucks huku tuzo Best Male ikienda kwa Davido kutoka nchini Nigeria.



















