Monday, January 06, 2014

NDOA YA MASHOGA - Mtangazji wa Habari Marc Malkin Amuoa Patna wake Fabian Fuentes [PICHA]

Kama ni mpenzi wa kuangalia E! News, basi utakuwa unamfahamu Marc Malkin. Yeye ndiye muhariri mkuu na muandishi mtandao huo wa burudani ambao huwa unatoa habari za nyota wa Hollywood kwa 24/7.

Amemuoa patna wake wa siku nyingi aitwaye Fabian Fuentes ndani ya LA.

Kupitia ukurasa wake wa twitter hivi ndivyo alivyoandika Marc Malkin


No comments:

Post a Comment