Tuesday, December 17, 2013

Suarez Ashinda Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwaka


Kiwango cha Luis Suarez kwa kipindi chote cha mwaka 2013 kimetambulika na mashabiki wa mpira wa miguu wa nchi nzima ya Uingereza mnamo siku ya Jumatatu, hii ni mara baada ya mchezaji huyo toka Uruguay kufanikiwa kushinda heshima ya mashabiki kwa mwaka huu.

Mchezaji huyo wa Liverpool anayevaa jezi namba 7 alipokea tuzo hiyo kwenye tuzo za mashabiki wa mpira zilizofanyika kwenye uwanja wa Emirates Stadium usiku wa jana.

No comments:

Post a Comment