Tuesday, April 16, 2013

KIPI HURUSHA STIMU ZAIDI..?

1. Intaneti kuwa Slow 2. Umeme kukatika wakati unaangalia kipindi unachokipenda kwenye TV. 3. Network ya mtandao wa simu kuwa down. 4. Kuingia jikoni na kukuta kweupe na njaa inauma. 5. Chaji ya Betri kuisha kwenye simu. 6. Mitihani. 7. ........

No comments:

Post a Comment