Friday, March 21, 2014

Ajali Mbaya Kituo cha Mabasi Ubungo

Ajali mbaya imetokea muda huu hapa Ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani, ajali hiyo imehusisha magari 6 likiwemo moja la UDA.

Mpaka sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha ila uokoaji unaendelea.



CHANZO: Jamii FORUMs

No comments:

Post a Comment