Thursday, December 05, 2013

Demu Ajianika Kwenye Mtandao Kupata Wanaume [PICHA]


Kila kukicha mambo yanazidi kwenda vibaya, bila kujali maadili yetu na jamii inayotuzunguka, baya zaidi ni kwamba baadhi yetu tumekuwa tukiangalia na kufurahia matendo haya.


Msichana huyu ni wa kutoka Bayelsa ambaye inasemekea kuwa ni fundi sana wa mitindo huru, kwa sasa wateja wake wameenza kupungua hivyo akaona njia bora ni kuutangaza mwili wake kupitia kwenye mitandao.

Angalia picha yake chini...


Msichana huyo bado ni mdogo sana. Kwa nini asingefanya jitihada za kutafuta kazi badala ya kufanya huu upuuuzi...?

1 comment: