Tuesday, December 17, 2013

Cristiano Ronaldo Azindua Sehemu ya Makumbusho Yake [PICHA]


Ni kwenye sehemu ya makumbusho iliyoitwa Museu CR7, kwenye mji wa Madeira ndipo ambapo uzinduzi wa makumbusho ya Cristiano Ronaldo ulifanyika mnamo siku ya Jumapili.

Hapa nakupa baadhi ya picha na matukio mbalimbali yaliyofanyika siku hiyo.
Museu CR7 sasa rasmi imefunguliwa. Familia, marafiki na watu mbalimbali maarufu toka nchini humo walikuwepo kushuhudia uzinduzi wa makumbusho ya mshambuliaji huyo wa timu ya Real Madrid.

Hizi ni baadhi ya picha zilizochukuliwa kwenye uzinduzi wa makumbusho ya Museu CR7...















1 comment: