Thursday, November 21, 2013

Nini Kinaendelea Hapa [PICHA]


Hatuwezi kuficha na kusema kuwa hili ni tukio la kawaida, hata pia hatuwezi sema kwamba eti hawa watakuwa wanacheza tu.

Ila je hii hatuweza sema kuwa hiki ni kitu kizuri na kitamu sana ambacho bibi huyu anaonekana kukifurahia kiasi cha meno yote 32 kuwa nje kiasi hiki....?

No comments:

Post a Comment