Tuesday, October 15, 2013

Mume Wangu Aliwahi Kuniambia Sikumbusu Mwanaume Vizuri Kwenye Filamu - Mercy

Mcheza filamu nyota wa Nollywood, Mercy Aigbe-Gentry, hivi karibuni kwenye mahojiano alizungumzia juu ya vile ambavyo mume wake humchukulia kwa jinsi anavyokuwa kwenye taaluma yake.

Wakati mama huyo mwenye watoto wawili alipoulizwa kuhusu mume vile ambavyo huwa anajisikia wakati mtu anapokuwa akimbusu au kukumbatiwa kwenye failamu Mercy alijibu.

Soma alichosema;

"Sidhani kama anajali, sababu anajua kama ni kitu cha kukutaka kikufanye uamini. Kulikuwa na filamu moja ambayo nilihitajika kumbusu mtu, alipokuwa akiangalia filamu ile aliniambia kwamba sikufanya lile tukio vizuri. Alisema halikufanyika kitaalamu. Kitu ambacho siwezi kukifanya ni kuigiza filamu za utupu''.

No comments:

Post a Comment