Thursday, October 17, 2013

Kuna Tatizo Gani na Picha Hii ya Barbz....?

Aliyekuwa mshiriki wa BBA wa Afrika Kusini, Barbz alikamatwa na kamera hii wakati akiwa kwenye Sehemu ya Mapumziko ya Likwid, iliyopo Lagos, kwenye party...

Je Unakiona Kile nnachokiona...?

No comments:

Post a Comment