Thursday, May 02, 2013

Mdada, Je Unaweza Kuvaa Hivi Kwenye Jamii Yako Bila Kuona Aibu..?

Wapendwa dada zangu, hivi kweli mnaweza kuvaa hivi kwenye jamii yenu, tena bila hata aibu kama ambavyo mtangazaji huyu wa kike alivyovaa?

No comments:

Post a Comment