Thursday, May 30, 2013

Ni Rih-naldo! Cristiano Akiwa na Rihanna


Hakika Cristiano Ronaldo amefurahi na furaha yake ameshindwa kuificha hata ukijaribu kumcheki kwenye picha, na hii ni mara baada ya kupata nafasi ya kupiga picha na mkali wa muziki wa pop mwanadada Rihanna.

Mchezaji huyo wa timu ya Real Madrid alipiga picha hiyo nyuma ya steji mara baada ya Rihanna kutumbuiza kwenye tamasha nchini Ureno jana usiku picha ambayo baadae alikuja kuiweka kwenye ukurasa wake wa facebook.....


Swali langu la msingi kati ya Rihanna na Cristiano nani  ni maarufu zaidi ya mwenzake...?

No comments:

Post a Comment