Thursday, May 23, 2013

Lady Gaga Apiga Picha Za Utupu (PICHA)

Ilisemekana kwamba mwanamuziki maarufu, Lady Gaga, licha ya uchizi wake aliwahi kutamka kwamba haitokuja kutokea sehemu zake za siri Dunia nzima kuziona.
 
Hakika itakuwa aliwadanganya wengi na hasa ni kutokana na mikogo yake anapokuwa kwenye jukwaa pasipo kujiweka mtupu kwa asilimia mia.
 
Lady Gaga hatimaye amekubali kuvua nguo zake zote: Angalia picha hapo chini:

Amejiachia wazi kwa ajili ya kava la jarida maarufu la Playboy, akisema anahitaji kulipa kundi la uarifu kitu kimoja maalumu...!

No comments:

Post a Comment