Friday, April 19, 2013

Soma Hii Mpaka Mwisho

 Mimi na girlfriend wangu tulikuwa tunapendana sana. Tulikuwa tumeishakuwa pamoja kwa muda wa miaka minne hivi, na hivyo tukaamua tuoane.
Ila kulikuwa na jambo moja dogo lililokuwa likinisumbua sana, nalo si linguine bali ni mdogo wake wa kike ambae kiukweli alikuwa mzuri sana.
Huyo binti (shemeji yangu) alikuwa na umri wa miaka ishirini na moja hivi, na muda wote alipendelea kuvaa sketi fupi fupi na fulana nyepesi au brauzi zinazoonesha mwili wake.
Na kwa jinsi kifua chake kilivyo alikuwa hahitaji kuvaa sidiria, naamini unapata picha ya mtu nnayejaribu kumzungumzia.
Pamoja na binti huyu kuwa mwembamba kiasi, alikuwa na umbo la ajabu, yaani kiuno chake kiliumbwa mithiri ya nyingu mweusi.
Tatizo ni kwamba mara nyingi binti alipokuwa akiniona alikuwa na tabia ya kujipitisha pitisha na kuinama mbele yangu ili kunionesha mtaji wake.
Kusema kweli nilikuwa navutiwa sana na uzuri wake, na pia nilijua alikuwa ananifanyia makusudi maana alikuwa hafanyi hivyo kukiwa na watu wengine, bila shaka alikuwa ananitaka.
Siku moja binti huyo alinipigia simu niende nyumbani kwake nikaangalie kadi za mialiko ya harusi alizokuwa amechapisha, nilipofika (wakati naingia ndani) akaninong'oneza kuwa ananitamani sana na kamwe hawezi kujizuia.
Akaendelea kunieleza kuwa anahitaji tufanye mapenzi kabla sijafunga ndoa na dada yake ili nisijisikie vibaya kwamba natoka nje ya ndoa.
Nilipatwa na bumbuwazi na hasa kutokana na nguo za nusu uchi alizokuwa amevaa.
Kabla sijamwambia lolote akaniwahi na kusema "Mimi natangulia juu (ghorofani) kwenye chumba changu, kama unahitaji nikupe kitu kitamu njoo haraka kabla mashetani yangu hayajapoa" akageuka na kukimbilia chumbani.
Haraka nikageuka na kuelekea mlango mkubwa wa kutoka nje kutaka kuelekea kwenye gari yangu.
Daaah...! Kwa mshangao mkubwa nikaona pale nje familia yote imekusanyika, waliponiona nikitoka wakanipigia makofi na vigelegele kwa furaha, huku wengine machozi yakiwatoka kwa furaha.
Baba mkwe akaniambia "Tumefurahi sana kwamba umeshinda mtihani mdogo wa uaminifu ulioandaliwa na familia.
 
Ila kiukweli unajua ni nini hasa kilikuwa kinafata...? Ukweli ni kwamba MDA ULE NATOKA KULE NDANI NILIKUWA NAENDA KWENYE GARI KUCHUKUA CONDOM…!
 

2 comments: