Tuesday, May 21, 2013

Nahitaji Mwanaume Wa Kitanzania Atakayebadili Maisha Yangu

Hii ni ya ukweli...!

Kitu pekee nnachohitaji kwa sasa ni mwanaume atakayeweza kubadili maisha yangu. Nina umri wa miaka 21 na muaminifu, niliacha shule nikiwa kidato cha pili kwa sababu mbalimbali na kwa sasa sina kazi.


Mimi nusu ni Mtanzania na Msauzi na nipo Dar nikiwa natafuta mtu aliye kamili na atakayeweza kuwa na penzi la kweli.

Ni mtu mwenye upendo na ninayejali huku nikiwa napenda kutoka kwenye umasikini.

Kama unanielewa na unadhani utanifaa basi acha mawasiliano yako.

2 comments: