Showing posts with label Jamaa wakilana URODA. Show all posts
Showing posts with label Jamaa wakilana URODA. Show all posts
Wednesday, December 04, 2013
Ahukumiwa Miaka 10 Jela kwa Kumla Uroda Mbuzi, Mbuzi Afika Mahakamani kwa Ushahidi [PICHA & VIDEO]
Jamaa mmoja mwenye umri wa miaka 28 amehukumiwa kwenda jela miaka kumi mara baada ya kukutwa na hatia ya kufanya tendo la ngono na mbuzi.
Katana Kitsao Gona toka Malindi nchini Kenya wiki iliyopita alikiri kufanya ngono na mnyama.
Tuesday, December 03, 2013
Yaya Toure Ashinda Tuzo ya Mwaka ya BBC Kama Mchezaji Bora wa Afrika
Mshindi wa tuzo ya mwaka 2013 ya mchezaji bora wa Afrika toka BBC imekwenda kwa kiungo wa timu ya Manchester City aitwaye Yaya Toure, hii ni mara baada ya mchezaji huyo kuingizwa kwenye kinyang'anyiro hicho mara tano.
Monday, April 15, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)


