Tuesday, June 03, 2014

Joseph Olita Aliyeigiza Kama Idi Amin Amefariki

Muhusika mkuu aliyevaa tabia za dictator Idi Amini kwenye filamu ya Rise and Fall of Idi Amin, Joseph Olita amefariki dunia mnamo siku ya Jumapili, June 1, akiwa na umri wa miaka 70.

Imeripotiwa kuwa Olita alikuwa anasumbuliwa na shinikizo la damu na alizidiwa siku hiyo hiyo ya Jumapili akiwa nyumbani kwake wilaya ya Siaya nchini Kenya na kupoteza maisha majira ya saa tano asubuhi.


R.I.P 

1 comment:

  1. Betting in Oregon: Guide to Sports Betting in Oregon
    Betting on sports 군산 출장마사지 in Oregon offers a 의왕 출장안마 range of wagering opportunities and and is 광주광역 출장안마 the premier sports 여주 출장샵 betting destination 구미 출장안마 in the state.

    ReplyDelete