Wednesday, August 21, 2013

Bongo All Stars - Tokomeza Zero (AUDIO)


Huu ni wimbo uitwao Tokomeza Zero ambao umefanywa na nyota wakali wa Mziki wa Kizazi Kipya akiwemo Mwana FA,  Mwasiti, Diamond, Maunda Zorro, Peter Msechu, Stamina, Linah, Roma Mkatoliki, Linex, Keisha na Kala Jeremiah.

Lengo kuu la wimbo huu ni kuhamasisha Elimu na kukumbusha Wajibu na Jukumu la kila muhusika katika sekta hii anawajibika ipasavyo katika kusimamia Elimu na Matunda bora kwa kizazi cha sasa na baadae.

Wimbo huu Umetungwa na Kuandikwa na Lameck Ditto na kutayarishwa na Tudd Thomas.


Sikiliza na Download Hapa...

No comments:

Post a Comment