Tuesday, May 21, 2013

Jay Z Akana Kwamba Beyonce Ni Mjamzito

“Huwa siingii kwenye Mtandao, na sijawahi kuingia Myspace.”-Jay-Z

Shawn Carter hana muda kwa vitu viwili: mambo ya kizushi na mahojiano. Kwenye kipindi cha The Realness kinachorushwa na kituo maarufu cha redio nchini Marekani kiitwacho Hot 97, mtangazaji wa kituo hicho Ebro Darden alieleza kwamba Jay-Z amekana kwamba Beyonce ni mjamzito wa mtoto wao wa pili.


Hii ilikuja mara baada ya Ebro alipojaribu kumpongeza mwanamuziki huyo.

No comments:

Post a Comment