Sunday, April 21, 2013

Afikisha Miaka 116 na Kuvunja Rekodi

Jiroemon Kimura
Kutana na binadamu mwenye miaka mingi kuliko wote waliowahi  kutokea duniani, anaitwa Jiroemon Kimura, siku ya Ijumaa alisherehekea siku yake ya kuzaliwa, akiwa amefikisha miaka 116 huko nchini Japan.
Watu wengi walikuja kumuona, akiwamo Meya wa wa jiji la Kyotango na maofisa toka Guinness World Records.
“ Umetupa fahari na kujiamini sana sisi kama watu wa Japan,” Waziri Mkuu Shinzo Abe alisema kwenye mkanda wa video uliokuwa umerekodiwa zikiwa ni salamu kwa Kimura.

No comments:

Post a Comment