Friday, August 17, 2012

Q&A na Aunty Lulu: Aliyefungashia

Pozi tofauti
Q&A
 
AMEPATAJE MAKALIO HAYO?
“Makalio yangu nimeyarithi kutoka kwa mama yangu mzazi, japokuwa nikiwa mdogo nilikuwa mwembamba lakini nilivyokuwa mtu mzima ndiyo limekuja lenyewe hivi kama unavyoliona.”
USUMBUFU ANAOKUTANA NAO
“Napata usumbufu mkubwa sana, kila ninakopita wanaume wananiita pia nimekuwa nikipata mialiko mingi sana kutoka kwa wanaume wa sehemu  mbalimbali ambao hata siwafahamu.”
 
Kwenye pozi Kitandani
 JE, ANATAMANI KUPUNGUA?
“Weeee……thubutu! Sitamani hata kidogo kupungua kwa sababu makalio yangu nayapenda sana, pia yananipa faraja kubwa yaani Mungu amenipendelea.”
KUHUSU MAVAZI YAKE
“Napenda kuvaa nguo zinazoachia mwili wangu kama gauni, huwa najisikia niko huru zaidi.
SAIZI YA NGUO YA NDANI
“Sijui saizi ninayovaa maana sivaagi kufuli kwa sababu nikivaa huwa najikuna sana kutokana na hali ya joto.”

CHANZO: Global Publishers

No comments:

Post a Comment