Ajali iliyohusisha magari mawili imetokea mchana wa leo maeneo ya Tabata Segerea karibu na Lake Oil (Kwa msangi).
Ajali hiyo ilitokea pale ambapo gari moja ilipojaribu ku-over take ili iweze kuingia kituo cha mafuta.
Dereva alishindwa kumiliki usukani na ndipo alipogongana na gari lingine lenye namba za usajili T 462 CCD aina ya Nissan, gari ambalo limeharibika vibaya baada ya kutumbukia kwenye mtalo, pia gari lingine ni lenye namba za usajili T 283 CEN aina ya Mitsubishi na limeharibika kiasi.
Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyeumia.
Powered By David P. Mayunga (Peace Mayda)
No comments:
Post a Comment