Wednesday, December 11, 2013

Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini Azomewa Kwenye Kumbukumbu ya Mandela [VIDEO]


Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma alikuwa akizomewa na watu wakati alipokuwa anaingia kwenye uwanja wa FNB uliopo Soweto.
Kwenye kipande cha video hiyo ya sekunde chache, Kgalema Motlanthe, Thabo Mbeki na FW de Klerk walikuwa wakishangiliwa pale majina yao yalipotajwa ila walikaa kimya wakati jina la Zuma likitajwa.


Angalia Video hapo chini:-

No comments:

Post a Comment