Tuesday, April 16, 2013

WEWE SI MTOTO WA MJINI

Hebu fanya kunitajia sehemu moja mashuhuri iliyopo Tanzania yenye herufi 8. Herufi 4 za mwanzo ni chakula ambacho wazungu wanapenda sana kukitumia na hata wabongo nao wameanza kukitumia. Pia herufi zake 4 mwisho ni kiungo muhimu kilichomo ndani ya mwili wako. NAOMBA JIBU: Na tuone kama mjini ulikuja kwa gari la mkaa, mbio za mwenge au kwa basi..!

No comments:

Post a Comment