Tuesday, April 16, 2013

MJAMZITO AANGUKA TOKA GHOROFANI

Msichana huyu Mjamzito alianguka toka kwenye ghorofa ambapo mme wake anafanyakazi kama mjenzi. Kwa sasa yupo mahututi, na tumuombee tukiamini maombi yetu kwa Mungu yatasaidia kumponya...!

No comments:

Post a Comment