Tuesday, April 16, 2013

JE HAYA NDIO MAPENZI YA DIGITO..?

Hakika hii siwezi kuielezea. Nimejaribu kuiangalia hii picha kwa muda sasa, na yote ni katika kujaribu kutafuta maneno ya kuandika, ila kiukweli nimekosa cha kusema kuhusu hii. Zaidi nikiwaacha ninyi mnipe maelezo yake. Tafadhali fanya kuiangalia picha hii kwa makini kisha nieleze kile unachofikiria...! Karibu kwenye KIJIJI CHA DHAMBI lol...

No comments:

Post a Comment