Tuesday, April 16, 2013

FUNGUKA

Ni Wazo gani baya ambalo ulishafikiria kutaka kulifanya, ila mwisho wa siku HUKULIFANYA..? 1. Kutoa mimba. 2. Kumuuwa mtu. 3. Kufanya mapenzi na ndugu yako. 4. Kubaka. 5. Kwenda kwa mganga wa kienyeji. 6. Kufanya mapenzi na bosi ili upate kazi au kupandishwa cheo. 7. Kumuambukiza mtu ugonjwa kwa makusudi. 8. Kutaka kujiua. 9. ______?

No comments:

Post a Comment